| Jimbo la Lacs | |
|
|
|
|
Jimbo la Lacs |
|
| Majiranukta: 7°3′8″N 4°26′30″W / 7.05222°N 4.44167°W | |
| Nchi | |
|---|---|
| Jimbo | Lacs |
| Idadi ya wakazi | |
| - | 1,258,604[1] |
Jimbo la Lacs (kwa Kifaransa: District des Lacs) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko kitovu cha nchi[1].
Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,258,604[1].
Makao makuu yako Dimbokro.
Mikoa[hariri | hariri chanzo]
- Mkoa wa Bélier (Yamoussoukro)
- Wilaya ya Didiévi
- Wilaya ya Djékanou
- Wilaya ya Tiébissou
- Wilaya ya Toumodi
- Mkoa wa Iffou (Daoukro)
- Wilaya ya Daoukro
- Wilaya ya M'Bahiakro
- Wilaya ya Prikro
- Mkoa wa Moronou (Bongouanou)
- Wilaya ya Arrah
- Wilaya ya Bongouanou
- Wilaya ya M'Batto
- Mkoa wa N'Zi (Dimbokro)
- Wilaya ya Bocanda
- Wilaya ya Dimbokro
- Wilaya ya Kouassi-Kouassikro
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ 1.0 1.1 1.2 Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Lacs kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |